Swali 185: Ni ipi hukumu ya kuondoa kilichofunika kichwa ili kunyeshewa na mvua?
Jibu: Hakuna ubaya kwa hilo. Imekuja katika Hadith ya Anas kwa Muslim:
“… akavua nguo yake ili mpaka apatwe na mvua.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 83
- Imechapishwa: 05/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 185: Ni ipi hukumu ya kuondoa kilichofunika kichwa ili kunyeshewa na mvua?
Jibu: Hakuna ubaya kwa hilo. Imekuja katika Hadith ya Anas kwa Muslim:
“… akavua nguo yake ili mpaka apatwe na mvua.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 83
Imechapishwa: 05/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuondoa-kilichofunika-kichwa/