Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba mvua katika Du´aa ya Qunuut Ramadhaan?
Jibu: Hili halikuthibiti. Hili ni jambo ambalo limezushwa leo na halikuthibiti. Haikuthibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba mvua katika Qunuut kwenye Swalah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-08.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba mvua katika Du´aa ya Qunuut Ramadhaan?
Jibu: Hili halikuthibiti. Hili ni jambo ambalo limezushwa leo na halikuthibiti. Haikuthibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba mvua katika Qunuut kwenye Swalah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-08.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuomba-mvua-katika-duaa-ya-qunuut-ramadhaan/