Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwenye makaburi ya mawalii kwa lengo la kuitikiwa du´aa?
Jibu: Hii ni miongoni mwa Bid´ah. Kuomba du´aa na kuswali karibu na makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki. Sunnah ni mtu atembelee makaburi, awatolee salamu na awaombee du´aa kisha aondoke. Kama anataka kujiombea du´aa mwenyewe basi jiombee maeneo mengine. Kuomba du´aa, kusoma Qur-aan na kuswali maeneo ya makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki na ni miongoni mwa Bid´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 14/11/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)