Swali: Je, inajuzu kuomba du´aa mayahudi na manaswara waangamie kwa njia ya ujumla?
Jibu: Hili halikuthibiti ya kwamba waombewe dhidi yao kwa ujumla. Haina neno ikifanywa hivo kwa wale wanaowafanyia madhara na kuwaua Waislamu. Sio mayahudi wote. Ikiwa kuomba dhidi yao kuna sababu kwa kuwa wamewaudhi waislamu au wamewafanyia uadui, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13844
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuomba du´aa mayahudi na manaswara waangamie kwa njia ya ujumla?
Jibu: Hili halikuthibiti ya kwamba waombewe dhidi yao kwa ujumla. Haina neno ikifanywa hivo kwa wale wanaowafanyia madhara na kuwaua Waislamu. Sio mayahudi wote. Ikiwa kuomba dhidi yao kuna sababu kwa kuwa wamewaudhi waislamu au wamewafanyia uadui, hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13844
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuomba-duaa-dhidi-ya-makafiri-kwa-ujumla/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)