Swali: Jana tumesoma maneno ya Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) ya kwamba maji ya baridi yanaufanya mwili kuwa na nguvu. Je, hii ina maana kwamba mwenye kuoga maji ya baridi anakuwa na uchangamfu na nguvu na hivyo yamependekezwa?
Jibu: Ndio, bila shaka yoyote, ikiwa baridi inaweza kustahamiliwa. Ni sawa. Ama ikiwa baridi inamtia matatani na khatarini, haijuzu kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 28/12/2019
Swali: Jana tumesoma maneno ya Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) ya kwamba maji ya baridi yanaufanya mwili kuwa na nguvu. Je, hii ina maana kwamba mwenye kuoga maji ya baridi anakuwa na uchangamfu na nguvu na hivyo yamependekezwa?
Jibu: Ndio, bila shaka yoyote, ikiwa baridi inaweza kustahamiliwa. Ni sawa. Ama ikiwa baridi inamtia matatani na khatarini, haijuzu kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
Imechapishwa: 28/12/2019
https://firqatunnajia.com/kuoga-maji-ya-baridi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket