Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Qunuut ndani ya Swalah?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Kunyanyua mikono wakati wa kuomba Du´aa ni katika sababu za kupokelewa Du´aa na ni katika adabu za Du´aa. Unamnyanyulia mikono Allaah (Jalla wa ´Alaa).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
- Imechapishwa: 09/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Qunuut ndani ya Swalah?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Kunyanyua mikono wakati wa kuomba Du´aa ni katika sababu za kupokelewa Du´aa na ni katika adabu za Du´aa. Unamnyanyulia mikono Allaah (Jalla wa ´Alaa).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
Imechapishwa: 09/11/2014
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-ni-katika-sababu-za-kupokelewa-duaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
