Swali: Khatwiyb akiketi juu ya mimbari siku ya ijumaa na muadhini akaadhini unaanza wakati wa kuitikiwa du´aa. Je, ambaye ananyanyua mikono yake juu wakati adhaana inatolewa akatazwe?
Jibu: Ndio. Aelezwe kwamba hakuna dalili ya kunyanyua mikono juu wakati adhaana inatolewa. Ni jambo halina dalili. Mikono hainyanyuliwi katika ule wakati wa kuitikiwa du´aa siku ya ijumaa. Hakuna dalili juu ya hilo. Aomba pasi na kunyanyua mikono juu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2018
Swali: Khatwiyb akiketi juu ya mimbari siku ya ijumaa na muadhini akaadhini unaanza wakati wa kuitikiwa du´aa. Je, ambaye ananyanyua mikono yake juu wakati adhaana inatolewa akatazwe?
Jibu: Ndio. Aelezwe kwamba hakuna dalili ya kunyanyua mikono juu wakati adhaana inatolewa. Ni jambo halina dalili. Mikono hainyanyuliwi katika ule wakati wa kuitikiwa du´aa siku ya ijumaa. Hakuna dalili juu ya hilo. Aomba pasi na kunyanyua mikono juu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 07/09/2018
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-juu-katika-wakati-wa-kuitikiwa-duaa-siku-ya-ijumaa/