Swali: Baada ya muadhini kumaliza kutoa adhaana tunaona baadhi ya watu wanavyosoma du´aa zilizothibiti kisha wananyanyua mikono yao na kuomba du´aa ndefu…
Jibu: Hapana, hapana. Mtu asiombe du´aa kwa kunyanyua mikono. Ni sawa akaomba du´aa, lakini pasi na kunyanyua mikono.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 10/01/2017
Swali: Baada ya muadhini kumaliza kutoa adhaana tunaona baadhi ya watu wanavyosoma du´aa zilizothibiti kisha wananyanyua mikono yao na kuomba du´aa ndefu…
Jibu: Hapana, hapana. Mtu asiombe du´aa kwa kunyanyua mikono. Ni sawa akaomba du´aa, lakini pasi na kunyanyua mikono.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 10/01/2017
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-baada-ya-adhaana/