Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan kwa nisba ya Imamu ikiwa anasoma juu ya Jamaa´ah [ya msikitini] kwa nia ya Ruqyah ya Kishari´ah?
al-Fawzaan: Sijafahamu swali. Yaani anawasomea Jamaa´ah ndani ya swalah au nje ya swalah?
Muulizaji: Inavyodhihiri ni ndani ya swalah.
al-Fawzaan: Yaani anafanya kisomo cha ndani ya swalah kuwa ni Ruqyah?
Muulizaji: Hii ndio dhahiri ya swali.
Jibu: Hili halikusemwa na yeyote na halijafanywa na yeyote. Yaani anawasomea Jamaa´ah walio nyuma yake? Subhaan Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket