Swali 241: Je, ni sharti kudumu kuswali Rak´ah kumi na mbili kila mchana na usiku (Hadiyth aliyopokea Umm Habiybah[1]) au inatosha kuziswali mara moja ili kupata fadhilah hiyo?
Jibu: Kuna mitazamo miwili inayopishana ya wanazuoni kuhusu hilo.
[1] Umm Habiybah Ramlah bint Abiy Sufyaan (Radhiya Allaahu ´anhumaaa) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna mja yeyote muislamu anayeswali kila siku kwa ajili ya Allaah Rak´ah kumi na mbili ambazo ni za kujitolea – na sio zile za faradhi – isipokuwa Allaah (Ta´ala) atamjengea nyumba Peponi au atajengea nyumba Peponi.”
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na at-Tirmidhiy ambaye amezidisha:
“Rak´ah nne kabla ya Dhuhr, mbili baada yake, mbili baada ya Maghrib, mbili baada ya ´Ishaa na mbili kabla ya swalah ya Fajr.” (Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (579).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 95
- Imechapishwa: 08/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 241: Je, ni sharti kudumu kuswali Rak´ah kumi na mbili kila mchana na usiku (Hadiyth aliyopokea Umm Habiybah[1]) au inatosha kuziswali mara moja ili kupata fadhilah hiyo?
Jibu: Kuna mitazamo miwili inayopishana ya wanazuoni kuhusu hilo.
[1] Umm Habiybah Ramlah bint Abiy Sufyaan (Radhiya Allaahu ´anhumaaa) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna mja yeyote muislamu anayeswali kila siku kwa ajili ya Allaah Rak´ah kumi na mbili ambazo ni za kujitolea – na sio zile za faradhi – isipokuwa Allaah (Ta´ala) atamjengea nyumba Peponi au atajengea nyumba Peponi.”
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na at-Tirmidhiy ambaye amezidisha:
“Rak´ah nne kabla ya Dhuhr, mbili baada yake, mbili baada ya Maghrib, mbili baada ya ´Ishaa na mbili kabla ya swalah ya Fajr.” (Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (579).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 95
Imechapishwa: 08/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kunakusudiwa-kuziswali-mara-moja-au-kudumu-kuziswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
