Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kupeana kiwiliwili chake baada ya kufa?
Jibu: Sio chake. Kiwiliwili chake sio chake. Allaah hakumpa ruhusa ya kufanya hivo. Ni milki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) na sio yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 14/07/2018
Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kupeana kiwiliwili chake baada ya kufa?
Jibu: Sio chake. Kiwiliwili chake sio chake. Allaah hakumpa ruhusa ya kufanya hivo. Ni milki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) na sio yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 14/07/2018
https://firqatunnajia.com/kumzawadia-mtu-mwili-baada-ya-kufa/