Swali: Je, inafaa kumwalika nyumbani mmoja katika wa mwanzo kabisa wa Tabliyghiyyuun katika mji wetu katika chakula cha mchana pamoja na baadhi ya ndugu Salafiyyuun kwa lengo la Da´wah?
Jibu: Ni sawa. Pengine akafaidika na nasaha za Salafiyyuun na miongozo. Ni sawa, Allaah akuwafikisheni.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=4213&size=2&ext=.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2021
Swali: Je, inafaa kumwalika nyumbani mmoja katika wa mwanzo kabisa wa Tabliyghiyyuun katika mji wetu katika chakula cha mchana pamoja na baadhi ya ndugu Salafiyyuun kwa lengo la Da´wah?
Jibu: Ni sawa. Pengine akafaidika na nasaha za Salafiyyuun na miongozo. Ni sawa, Allaah akuwafikisheni.
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.olamayemen.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=4213&size=2&ext=.mp3
Imechapishwa: 09/10/2021
https://firqatunnajia.com/kumwalika-tabliyghiy-katika-chakula-cha-mchana/