Swali: Je, ikiwa fisi atamshambulia mtu inaruhusiwa kumuua?
Jibu: Ndio, fisi pia anaruhusiwa kuuawa. Ingawa fisi ni mnyama halali kuwinda, ikiwa atasababisha madhara anachukuliwa kama wanyama wengine wenye madhara na inaruhusiwa kumuua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24976/هل-يقتل-الضبع-الموذي-في-الحرم
- Imechapishwa: 16/01/2025
Swali: Je, ikiwa fisi atamshambulia mtu inaruhusiwa kumuua?
Jibu: Ndio, fisi pia anaruhusiwa kuuawa. Ingawa fisi ni mnyama halali kuwinda, ikiwa atasababisha madhara anachukuliwa kama wanyama wengine wenye madhara na inaruhusiwa kumuua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24976/هل-يقتل-الضبع-الموذي-في-الحرم
Imechapishwa: 16/01/2025
https://firqatunnajia.com/kumuua-fisi-haram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)