Swali: Je, inafaa kumwosha mgonjwa kwa damu ya kichinjwa?
Jibu: Haijuzu. Damu ni najisi. Haijuzu kujitibu kwa kitu najisi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/147)
- Imechapishwa: 04/06/2021
Swali: Je, inafaa kumwosha mgonjwa kwa damu ya kichinjwa?
Jibu: Haijuzu. Damu ni najisi. Haijuzu kujitibu kwa kitu najisi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/147)
Imechapishwa: 04/06/2021
https://firqatunnajia.com/kumuosha-mgonjwa-kwa-damu/