Swali: Mume akimuona mke wake pamoja na mwanaume mwingine akawa amemtaliki. Je, ana kitu juu yake na ni ipi nasaha yako?
Jibu: Akiwa na mashaka naye na asiwe na utulivu nae, amtaliki apate amani, Alhamdulillaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10061
- Imechapishwa: 02/03/2018
Swali: Mume akimuona mke wake pamoja na mwanaume mwingine akawa amemtaliki. Je, ana kitu juu yake na ni ipi nasaha yako?
Jibu: Akiwa na mashaka naye na asiwe na utulivu nae, amtaliki apate amani, Alhamdulillaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10061
Imechapishwa: 02/03/2018
https://firqatunnajia.com/kumuona-mke-yuko-na-mwanaume-mwingine/