Swali: Je, inajuzu kumuombea du´aa nusra ikiwa kafiri huyu amedhulumiwa?
Jibu: Hapana. Muombee uongofu. Ama kuhusu kumuombea nusra, hapana. Kwa kuwa huku ina maana ya kukubaliana naye kwa yale aliyomo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (57) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13495
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kumuombea du´aa nusra ikiwa kafiri huyu amedhulumiwa?
Jibu: Hapana. Muombee uongofu. Ama kuhusu kumuombea nusra, hapana. Kwa kuwa huku ina maana ya kukubaliana naye kwa yale aliyomo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (57) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13495
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumuombea-duaa-kafiri-aliyedhulumiwa/