Swali: Ni sahihi mtu akamuomba mwengine kwa uso wake?
Jibu: Ikiwa kuomba ni kupitia mtu hakuna neno. Lakini haifai kumuomba mtu kwa uso wa Allaah. Kwa mfano mtu akasema “Nakuomba kwa haki ya baba yako au kwa uso wa baba yako” hakuna neno. Kama ambavo ´Abdullaah bin Ja´far alivyokuwa akisema kumwambia ami yake ´Aliy bin Abiy Twaalib akimuomba kwa haki ya Ja´far[1] bi maana akimuomba kwa kuunga udugu. Ama Allaah haombwi kwa hilo. Bali inatakiwa kumuomba Allaah kwa majina Yake mazuri, kwa kumwamini au kwa kumpenda kwako.
[1] at-Twabaraaniy (02/1476).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 73
- Imechapishwa: 22/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)