Swali: Ni ipi hukumu ya kuashiria kidole kwa mtoto siku ya Ijumaa wakati wa Khutbah kwa sababu anawashawishi wasikilizaji?
Jibu: Haijuzu wakati wa Khutbah akatikisika au akazungumza. Anachotakiwa ni kunyamaza wakati wa Khutbah.
Anaweza kumnyamazisha mtoto kwa njia nyingine.
Ama kutikisika, kumuashiria kidole au akazungumza haifai.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 26/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket