Swali: Maiti anafikiwa na thawabu za Qur-aan mtu akisoma na kumtumia thawabu maiti huyo?
Jibu: Halikuthibiti. Haikuthibiti mtu kusoma Qur-aan na kumtumia thawabu zake maiti. Hakuna dalili juu ya hili. Hii ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (35) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%208%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Maiti anafikiwa na thawabu za Qur-aan mtu akisoma na kumtumia thawabu maiti huyo?
Jibu: Halikuthibiti. Haikuthibiti mtu kusoma Qur-aan na kumtumia thawabu zake maiti. Hakuna dalili juu ya hili. Hii ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (35) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%208%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kumtumia-thawabu-za-kisomo-maiti-ni-bidah/