Swali: Je, kafiri anaweza kutukanwa kwa kutajwa jina lake?
Jibu: Ikiwa kuna haja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwatukana. Lakini ikiwa hakuna haja, basi inampasa kumuombea uongofu, kama alivyosema:
“Ee Allaah, waongoze Daws na niletee nao.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25218/هل-يجوز-سب-الكافر-المعين
- Imechapishwa: 22/02/2025
Swali: Je, kafiri anaweza kutukanwa kwa kutajwa jina lake?
Jibu: Ikiwa kuna haja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwatukana. Lakini ikiwa hakuna haja, basi inampasa kumuombea uongofu, kama alivyosema:
“Ee Allaah, waongoze Daws na niletee nao.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25218/هل-يجوز-سب-الكافر-المعين
Imechapishwa: 22/02/2025
https://firqatunnajia.com/kumtukana-kafiri-kwa-dhati-yake-ii/