Swali: Je, inajuzu kumtakia rehema muislamu mtenda madhambi makubwa ambaye amekufa?
Jibu: Ndio, inajuzu kumtakia rehema na kumwombea du´aa ya msamaha. Ni kama ambavo anaswaliwa swalah ya jeneza akiwa ni mtenda madhambi na si kafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/395)
- Imechapishwa: 11/03/2021
Swali: Je, inajuzu kumtakia rehema muislamu mtenda madhambi makubwa ambaye amekufa?
Jibu: Ndio, inajuzu kumtakia rehema na kumwombea du´aa ya msamaha. Ni kama ambavo anaswaliwa swalah ya jeneza akiwa ni mtenda madhambi na si kafiri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/395)
Imechapishwa: 11/03/2021
https://firqatunnajia.com/kumtakia-rehema-muislamu-mtenda-madhambi-makubwa/