Swali: Je, inajuzu kumtaja Allaah ndani ya choo?
Jibu: Haitakikani kwa mtu kumtaja Mola wake ndan ya choo. Kwa sababu ana uwezo wa kufanya kinyume na hivo. Akimtaja kwa moyo wake ni sawa pasi na kumtaja kwa moyo wake. Vinginevyo bora zaidi asitamke kwa mdomo wake sehemu hii. Asubiri mpaka atapotoka nje.
Lakini ni sawa kumtaja Allaah ikiwa ni sehemu ya kutawadhia peke yake ambako kumetengana na sehemu ya kukidhia haja.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (07) http://binothaimeen.net/content/6706
- Imechapishwa: 26/11/2020
Swali: Je, inajuzu kumtaja Allaah ndani ya choo?
Jibu: Haitakikani kwa mtu kumtaja Mola wake ndan ya choo. Kwa sababu ana uwezo wa kufanya kinyume na hivo. Akimtaja kwa moyo wake ni sawa pasi na kumtaja kwa moyo wake. Vinginevyo bora zaidi asitamke kwa mdomo wake sehemu hii. Asubiri mpaka atapotoka nje.
Lakini ni sawa kumtaja Allaah ikiwa ni sehemu ya kutawadhia peke yake ambako kumetengana na sehemu ya kukidhia haja.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (07) http://binothaimeen.net/content/6706
Imechapishwa: 26/11/2020
https://firqatunnajia.com/kumtaja-allaah-sehemu-ya-kutawadhia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)