Swali: Suufiyyah humtaja Allaah kwa dhamiri pekee wakisema “Yeye, Yeye”?
Jibu: Hii ni Bid´ah, si miongoni mwa nyiradi. Kama kusema “Allaah, Allaah” bila muundo kamili wa Dhikr, hiyo si Dhikr. Dhikr sahihi ni kama “Subhaan Allaah”, “Laa ilaaha illa Allaah”, kama ilivyokuja katika maandiko. Kwa sababu ´ibaadah inakuwa kwa mujibu wa dalili. Haziwezi kufanywa kwa kubuni. Lakini njia za kufikia Dhikr kwa kufikiria na kuzingatia ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31187/ما-حكم-ذكر-الله-بالضمير-المجرد-هو-هو
- Imechapishwa: 10/10/2025
Swali: Suufiyyah humtaja Allaah kwa dhamiri pekee wakisema “Yeye, Yeye”?
Jibu: Hii ni Bid´ah, si miongoni mwa nyiradi. Kama kusema “Allaah, Allaah” bila muundo kamili wa Dhikr, hiyo si Dhikr. Dhikr sahihi ni kama “Subhaan Allaah”, “Laa ilaaha illa Allaah”, kama ilivyokuja katika maandiko. Kwa sababu ´ibaadah inakuwa kwa mujibu wa dalili. Haziwezi kufanywa kwa kubuni. Lakini njia za kufikia Dhikr kwa kufikiria na kuzingatia ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31187/ما-حكم-ذكر-الله-بالضمير-المجرد-هو-هو
Imechapishwa: 10/10/2025
https://firqatunnajia.com/kumtaja-allaah-kwa-dhamiri-pekee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
