Swali: Vipi kuhusu kutembea juu ya makaburi?
Jibu: Haijuzu.
Swali: Vipi kuhusu kumswalia maiti mara ya pili?
Jibu: Hapana shida. Hapana vibaya ikiwa maiti ameshaswaliwa msikitini kisha akaswaliwa tena msikiti mwingine au pale makaburini wakati wa kumzika. Hata baada ya kuzikwa pia inajuzu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28931/حكم-المشي-على-القبور-وتكرار-الصلاة-عليها
- Imechapishwa: 07/05/2025
Swali: Vipi kuhusu kutembea juu ya makaburi?
Jibu: Haijuzu.
Swali: Vipi kuhusu kumswalia maiti mara ya pili?
Jibu: Hapana shida. Hapana vibaya ikiwa maiti ameshaswaliwa msikitini kisha akaswaliwa tena msikiti mwingine au pale makaburini wakati wa kumzika. Hata baada ya kuzikwa pia inajuzu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28931/حكم-المشي-على-القبور-وتكرار-الصلاة-عليها
Imechapishwa: 07/05/2025
https://firqatunnajia.com/kumswalia-maiti-zaidi-ya-mara-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
