Swali: Ada katika mji wetu kunapochinjwa ´Aqiyqah kisha kichwa cha mtoto kikanyolewa anasomewa Suurat-ul-Luqmaan ikiwa ni mvulana.
Jibu: Hili halina asli. Hii ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Ada katika mji wetu kunapochinjwa ´Aqiyqah kisha kichwa cha mtoto kikanyolewa anasomewa Suurat-ul-Luqmaan ikiwa ni mvulana.
Jibu: Hili halina asli. Hii ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumsomea-mtoto-aliyezaliwa-suurat-ul-luqmaan/