Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan nyumbani wakati watu wako wanazika?
Jibu: Kumsomea Qur-aan maiti ni Bid´ah. Ni mamoja wakati wa kuzika, kabla ya kuzika au baada ya kuzika. Ni mambo hayakuwekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67955&audiotype=lectures&browseby=speaker
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan nyumbani wakati watu wako wanazika?
Jibu: Kumsomea Qur-aan maiti ni Bid´ah. Ni mamoja wakati wa kuzika, kabla ya kuzika au baada ya kuzika. Ni mambo hayakuwekwa katika Shari´ah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67955&audiotype=lectures&browseby=speaker
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/kumsomea-maiti-qur-aan-kabla-au-baada-ya-mazishi/