Swali: Kuna mtu amesahau baadhi ya kanda za muziki kwangu na sijamrejeshea nayo mpaka hivi sasa. Je, nimrudishie?
Jibu: Hapana, maadamu ina muziki usimrudishie. Bali ivunje au uifute na badala yake uweke kitu chenye faida katika Qur-aan au mihadhara. Ama kumrudishia nayo ilihali ina muziki haijuzu kufanya hivi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)