Swali: Je, apewe mtu ambaye anafahamika kuwa ni ombaomba?
Jibu: Ndio:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Mwombaji anatakiwa kupewa.
[1] 51:19
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28830/هل-يعطي-الساىل-ان-علم-انه-متسول
- Imechapishwa: 27/04/2025
Swali: Je, apewe mtu ambaye anafahamika kuwa ni ombaomba?
Jibu: Ndio:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Mwombaji anatakiwa kupewa.
[1] 51:19
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28830/هل-يعطي-الساىل-ان-علم-انه-متسول
Imechapishwa: 27/04/2025
https://firqatunnajia.com/kumpa-mtu-ambaye-ni-ombaomba/