Swali: Je, apewe mtu ambaye anafahamika kuwa ni ombaomba?

Jibu: Ndio:

وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ

“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]

Mwombaji anatakiwa kupewa.

[1] 51:19

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28830/هل-يعطي-الساىل-ان-علم-انه-متسول
  • Imechapishwa: 27/04/2025