Swali: Ni ipi hukumu ya kujitolea damu?

Jibu: Hakuna ubaya katika hilo na wala hakuna dhambi ndani yake pale inapokuwa ni kwa dharurah.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/71)
  • Imechapishwa: 17/03/2026