Swali: Baadhi ya wagonjwa wanawaambia wenye kufanya matabano kwamba hawatowapa malipo isipokuwa baada ya kuponywa na Allaah. Je, sharti hii inafaa?
Jibu: Ndio, inafaa kwa mgonjwa kumuwekea sharti anayefanya matabano kumpa kitu fulani baada ya kuponywa na Allaah. Vinginevyo hatompa kitu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/40)
- Imechapishwa: 15/05/2026
Swali: Baadhi ya wagonjwa wanawaambia wenye kufanya matabano kwamba hawatowapa malipo isipokuwa baada ya kuponywa na Allaah. Je, sharti hii inafaa?
Jibu: Ndio, inafaa kwa mgonjwa kumuwekea sharti anayefanya matabano kumpa kitu fulani baada ya kuponywa na Allaah. Vinginevyo hatompa kitu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/40)
Imechapishwa: 15/05/2026
https://firqatunnajia.com/kumpa-malipo-baada-ya-kupona/