Kumficha mposaji uzinzi baada ya kutubu

Swali: Ambaye alitumbukia katika uzinzi kisha akatubu. Je, ni lazima kwa mwanamke huyu kumweleza jambo hilo anayepomsa baada ya jambo hilo?

Jibu: Hapana. Usimweleze. Muda wa kuwa umetubu na umejutia:

“Mwenye kutubu juu ya dhambi ni kana hana dhambi.”

  • Mhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaa
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18350
  • Imechapishwa: 16/10/2021