Swali: Je, kuna ukweli juu ya kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah, kama Ibn ´Umar na wengine, kuhusu kutokufuatisha kati ya viungo vya wudhuu´?
Jibu: Sifahamu juu ya kusihi kwake. Si sahihi. Lakini kama ni kweli wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kama imesihi kutoka kwa baadhi ya Salaf basi wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye mwenye kufasiri na kubainisha Qur-aan.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24725/هل-صح-شيء-في-عدم-الموالاة-في-الوضوء
- Imechapishwa: 03/12/2024
Swali: Je, kuna ukweli juu ya kile kilichopokewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah, kama Ibn ´Umar na wengine, kuhusu kutokufuatisha kati ya viungo vya wudhuu´?
Jibu: Sifahamu juu ya kusihi kwake. Si sahihi. Lakini kama ni kweli wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kama imesihi kutoka kwa baadhi ya Salaf basi wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye wanapingwa na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye mwenye kufasiri na kubainisha Qur-aan.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24725/هل-صح-شيء-في-عدم-الموالاة-في-الوضوء
Imechapishwa: 03/12/2024
https://firqatunnajia.com/kumesihi-kitu-juu-ya-kutokufuatisha-viungo-vya-wudhuu/