Swali: Kumchinjia mgeni ni katika kumchinjia asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kumkirimu mgeni kunafanywa kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho basi amkirimu mgeni wake.”
Lakini ikiwa mnyama anachinjwa mbele ya mlango ili bibi harusi apite mbele yake ili asipatwe na uchawi wala shaytwaan, basi kichinjwa hicho kimechinjwa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 466
- Imechapishwa: 01/08/2025
Swali: Kumchinjia mgeni ni katika kumchinjia asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kumkirimu mgeni kunafanywa kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho basi amkirimu mgeni wake.”
Lakini ikiwa mnyama anachinjwa mbele ya mlango ili bibi harusi apite mbele yake ili asipatwe na uchawi wala shaytwaan, basi kichinjwa hicho kimechinjwa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 466
Imechapishwa: 01/08/2025
https://firqatunnajia.com/kumchinjia-mgeni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket