Kulipa zakaah zaidi kwa ajili ya kuchukua tahadhari

Swali: Je, inafaa kwa mtu kuzidisha katika kutoa zakaah kwa ajili ya kuchukua tahadhari?

Jibu: Hapana vibaya kwa mtu akazidisha juu ya kile kiwango ambacho anaona kuwa ni wajibu kwake na akanuia ya kwamba kile kilichozidi juu ya wajibu ni kujitolea. Mlango wa kujitolea umefunguliwa.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/143)
  • Imechapishwa: 17/05/2026