Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha swalah na swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa swalah zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rak´ah nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 25/03/2018
Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha swalah na swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa swalah zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rak´ah nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 25/03/2018
https://firqatunnajia.com/kulipa-swalah-ya-safarini-unapofika-katika-mji-wako/