Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha swalah na swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa swalah zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rak´ah nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 25/03/2018
Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha swalah na swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa swalah zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rak´ah nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 25/03/2018
https://firqatunnajia.com/kulipa-swalah-ya-safarini-unapofika-katika-mji-wako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
