Swali: Nalazimika kutoa kafara na nadaiwa. Ni kipi natakiwa kutanguliza?
Jibu: Deni la watu linatangulizwa. Kafara mtu anaweza kufunga na ikasihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Swali: Nalazimika kutoa kafara na nadaiwa. Ni kipi natakiwa kutanguliza?
Jibu: Deni la watu linatangulizwa. Kafara mtu anaweza kufunga na ikasihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 28/06/2024
https://firqatunnajia.com/kulipa-kafara-au-deni/