Swali: Inafaa kulipa deni za wazazi wawili kutoka katika zakaah?
Jibu: Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba imekatazwa. Ipo fatwa ya Shaykh Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn juu ya jambo hili. Lakini ni jambo linahitaji kutazamwa vizuri. Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba haifai kabisa kumpa zakaah baba.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 14/07/2019
Swali: Inafaa kulipa deni za wazazi wawili kutoka katika zakaah?
Jibu: Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba imekatazwa. Ipo fatwa ya Shaykh Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn juu ya jambo hili. Lakini ni jambo linahitaji kutazamwa vizuri. Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba haifai kabisa kumpa zakaah baba.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 14/07/2019
https://firqatunnajia.com/kulipa-deni-la-baba-kwa-pesa-ya-zakaah-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
