Swali: Kuna mtindo umeenea mahala kunaposwaliwa Idi ambapo kunagawiwa tende kabla ya Swalah ili watu wapate fadhila za tende. Je, hichi ni kitendo cha Sunnah au kimezushwa?
Jibu: Huu ni mwenendo wa vijana – Allaah Awaongoze. Salaf hawakuwa wanafanya hivi. Hatujui kuwa walikuwa wanagawa tende mahala pa kuswalia. Lililothibiti ni kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakula tende kabla ya kutoka nyumbani kwake. Yule anayetaka kufanyia kazi Sunnah ale kabla ya kutoka nyumbani kwake na si kula Msikitini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket