Swali: Kuna mtindo umeenea mahala kunaposwaliwa Idi ambapo kunagawiwa tende kabla ya Swalah ili watu wapate fadhila za tende. Je, hichi ni kitendo cha Sunnah au kimezushwa?
Jibu: Huu ni mwenendo wa vijana – Allaah Awaongoze. Salaf hawakuwa wanafanya hivi. Hatujui kuwa walikuwa wanagawa tende mahala pa kuswalia. Lililothibiti ni kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakula tende kabla ya kutoka nyumbani kwake. Yule anayetaka kufanyia kazi Sunnah ale kabla ya kutoka nyumbani kwake na si kula Msikitini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Kuna mtindo umeenea mahala kunaposwaliwa Idi ambapo kunagawiwa tende kabla ya Swalah ili watu wapate fadhila za tende. Je, hichi ni kitendo cha Sunnah au kimezushwa?
Jibu: Huu ni mwenendo wa vijana – Allaah Awaongoze. Salaf hawakuwa wanafanya hivi. Hatujui kuwa walikuwa wanagawa tende mahala pa kuswalia. Lililothibiti ni kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakula tende kabla ya kutoka nyumbani kwake. Yule anayetaka kufanyia kazi Sunnah ale kabla ya kutoka nyumbani kwake na si kula Msikitini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/kula-tende-msikitini-siku-ya-idi/