Swali: Funga ya kesho kwa nia kuwa ni siku ya jumatatu na ni tarehe kumi na tano?
Jibu: Hakuna kizuizi, haina shida. Afunge siku ya jumatatu, ni mamoja iwe ni kumi na tano au nyingineyo, haina shida.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28482/حكم-الجمع-بين-صيام-الاثنين-وخمسة-عشر
- Imechapishwa: 19/04/2025
Swali: Funga ya kesho kwa nia kuwa ni siku ya jumatatu na ni tarehe kumi na tano?
Jibu: Hakuna kizuizi, haina shida. Afunge siku ya jumatatu, ni mamoja iwe ni kumi na tano au nyingineyo, haina shida.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28482/حكم-الجمع-بين-صيام-الاثنين-وخمسة-عشر
Imechapishwa: 19/04/2025
https://firqatunnajia.com/kukusanya-nia-swawm-ya-jumatatu-na-alkhamisi-na-masiku-meupe/