Swali: Funga ya kesho kwa nia kuwa ni siku ya jumatatu na ni tarehe kumi na tano?
Jibu: Hakuna kizuizi, haina shida. Afunge siku ya jumatatu, ni mamoja iwe ni kumi na tano au nyingineyo, haina shida.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28482/حكم-الجمع-بين-صيام-الاثنين-وخمسة-عشر
- Imechapishwa: 19/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Swawm moja, nia nyingi
Swali: Siku ya jumatatu ikiafikiana na siku miongoni mwa masiku meupe au kafara ya kiapo; je, inafaa kwangu kuweka nia ya kufunga swawm ya sunnah ya jumatatu, siku moja wapo ya masiku meupe au kafara ya kiapo? Jibu: Ikiwa funga ni ya lazima basi ni lazima kunuia kufunga swawm hiyo…
In "Swawm zilizopendekezwa"
al-Fawzaan kuhusu kufunga jumatatu na Alkhamisi kwa nia ya masiku matatu meupe pia
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kufunga jumatatu na alkhamisi kwa nia ya siku tatu kila mwezi katika kila mwezi? Jibu: Hapana, asijumuishe hili na hili. Afunge jumatatu na alkhamisi kila wiki na afunge siku tatu kila mwezi za kipekee.
In "Swawm zilizopendekezwa"
Hukumu ya swawm za pamoja
Swali: Ni ipi hukumu ya swawm za pamoja kwa njia ya kwamba wanakusanyika kundi la watu na kukubaliana kufunga masiku maalum kama jumatatu na alkhamisi na hilo ni kwa lengo la kusaidia katika wema na uchaji Allaah? Kwa sababu mtu ambaye ni dhaifu kwenye nafsi yake anapata nguvu kupitia nduguze.…
In "Ibn ´Uthaymiyn msimamo kwa Ahl-ul-Bid´ah"