Swali: Kuna mtu amepangusa juu ya soksi yake na akaswali nazo, kisha akakumbuka kuwa soksi hizi ni najisi. Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Hata akiswali kwenye nguo najisi kwa kusahau najisi hiyo au hakujua kuwa ina najisi isipokuwa baada ya kuswali, swalah yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13585
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mtu amepangusa juu ya soksi yake na akaswali nazo, kisha akakumbuka kuwa soksi hizi ni najisi. Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Hata akiswali kwenye nguo najisi kwa kusahau najisi hiyo au hakujua kuwa ina najisi isipokuwa baada ya kuswali, swalah yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13585
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kukumbuka-soksi-ilikuwa-najisi-baada-ya-swalah/