Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kukumbatiana wakati wa kupeana pole?
Jibu: Ni kwa lengo la kuliwazana, halina neno. Khaswa ikiwa mtu amefika kutoka safarini. Kukumbatiana kunafanywa wakati mtu anapofika kutoka safarini. Vinginevyo kilichowekwa katika Shari´ah ni kupeana mikono.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket