Swali: Je, kuna tofauti kati ya wanachuoni kuhusu mwanamke kufunua uso wake au wote wamekubaliana juu ya Uharamu?
Jibu: Wamekubaliana kwamba, kukiwepo fitina kwa kuonesha uso wake, basi itakuwa ni wajibu kwake kuufunika. Na hakuna uaminifu wa fitina. Ni nani ambaye anajiaminisha juu ya fitina? Wamekubaliana kwamba, kukikhofiwa fitina ni wajibu kwake kufunika uso. Na khofu juu ya fitina ni yenye kuwepo daima na kila siku.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=136511
- Imechapishwa: 28/01/2024
Swali: Je, kuna tofauti kati ya wanachuoni kuhusu mwanamke kufunua uso wake au wote wamekubaliana juu ya Uharamu?
Jibu: Wamekubaliana kwamba, kukiwepo fitina kwa kuonesha uso wake, basi itakuwa ni wajibu kwake kuufunika. Na hakuna uaminifu wa fitina. Ni nani ambaye anajiaminisha juu ya fitina? Wamekubaliana kwamba, kukikhofiwa fitina ni wajibu kwake kufunika uso. Na khofu juu ya fitina ni yenye kuwepo daima na kila siku.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=136511
Imechapishwa: 28/01/2024
https://firqatunnajia.com/kukubaliana-kwa-wanachuoni-juu-ya-kufunika-uso/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)