Swali: Kabla ya kuku kuchinjwa anapigwa umeme na inatokea wakati mwingine anakufa kwa sababu ya umeme huo. Kisha baada ya hapo ndio anachinjwa na halafu anapigwa umeme kwa mara nyingine. Mtu anaweza kula kuku kama hii?
Jibu: Hapana. Ni myamafu. Inahesabika kuwa haikuchinjwa. Haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Kabla ya kuku kuchinjwa anapigwa umeme na inatokea wakati mwingine anakufa kwa sababu ya umeme huo. Kisha baada ya hapo ndio anachinjwa na halafu anapigwa umeme kwa mara nyingine. Mtu anaweza kula kuku kama hii?
Jibu: Hapana. Ni myamafu. Inahesabika kuwa haikuchinjwa. Haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuku-zinazochinjwa-kwa-umeme/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)