Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo katika kampuni ambapo nafanya kazi ili niweze kutekeleza Hajj ya faradhi?
Jibu: Haikulazimu kuchukua madeni kwa ajili ya Hajj. Huna juu yako Hajj. Allaah (Jalla wa ´Alaa) Amesema:
وَلِلَّـهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا
”Na kwa ajili ya Allaah ni wajibu kwa watu watekeleze Hajj katika Nyumba hiyo kwa mwenye uwezo.” (03:97)
Asiyeweza hana juu yake Hajj na sio lazima kuingia katika madeni. Huku ni kujikalifisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo katika kampuni ambapo nafanya kazi ili niweze kutekeleza Hajj ya faradhi?
Jibu: Haikulazimu kuchukua madeni kwa ajili ya Hajj. Huna juu yako Hajj. Allaah (Jalla wa ´Alaa) Amesema:
وَلِلَّـهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا
”Na kwa ajili ya Allaah ni wajibu kwa watu watekeleze Hajj katika Nyumba hiyo kwa mwenye uwezo.” (03:97)
Asiyeweza hana juu yake Hajj na sio lazima kuingia katika madeni. Huku ni kujikalifisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kukopa-kwa-ajili-ya-kuhiji/