Swali 322: Ikiwa mtu ameitwa juu ya swalah ya jeneza na tayari ameshaanza Sunnah aikate?
Jibu: Sijui kama kuna kizuizi. Wakati wa Sunnah ni mpana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
Swali 322: Ikiwa mtu ameitwa juu ya swalah ya jeneza na tayari ameshaanza Sunnah aikate?
Jibu: Sijui kama kuna kizuizi. Wakati wa Sunnah ni mpana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
https://firqatunnajia.com/kukata-swalah-ya-sunnah-kwa-ajili-ya-kuswalia-jeneza/