837- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye kucha lake limevunjika katika Ihraam. Akajibu:
“Alikate.”
838- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mwanamme ambaye amesuguasugua ndevu zake ambapo unywele ukadondoka. Akajibu:
“Kama unywele huo ulikuwa tayari umekwishatoka, basi hakuna kinachomlazimu.”
839- Nimemsikia Ahmad akisema:
“Mwenye kutoa unywele wake basi atoe 1.5 kg ya chakula.”
Bi maana wakati wa Ihraam.
840- Nimemsikia Muhrim mmoja akiwa na nywele mpaka kwenye mabega akisema kumwambia Ahmad:
“Nywele zangu zinanikera. Nizinyoe?”
Akajibu:
“Ukizinyoa basi utoe kafara ya kondoo au kufunga siku tatu.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
- Imechapishwa: 14/04/2021
837- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye kucha lake limevunjika katika Ihraam. Akajibu:
“Alikate.”
838- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mwanamme ambaye amesuguasugua ndevu zake ambapo unywele ukadondoka. Akajibu:
“Kama unywele huo ulikuwa tayari umekwishatoka, basi hakuna kinachomlazimu.”
839- Nimemsikia Ahmad akisema:
“Mwenye kutoa unywele wake basi atoe 1.5 kg ya chakula.”
Bi maana wakati wa Ihraam.
840- Nimemsikia Muhrim mmoja akiwa na nywele mpaka kwenye mabega akisema kumwambia Ahmad:
“Nywele zangu zinanikera. Nizinyoe?”
Akajibu:
“Ukizinyoa basi utoe kafara ya kondoo au kufunga siku tatu.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
Imechapishwa: 14/04/2021
https://firqatunnajia.com/kukata-nywele-katika-ihraam/