Swali: Mtu amesafiri kutokea Riyaadh kwenda Makkah kwa kuweka nia ya kufanya ´Umrah moja. Baada ya kufanya ´Umrah akafikiria kufanya ´Umrah kwa mara ya pili. Je, inafaa kwake kufanya hivo? Afanye Ihraam kutokea wapi?
Jibu: Hakuna ubaya akifanya ´Umrah kisha akataka kufanya ´Umrah kwa niaba ya baba yake aliyekufa au mama yake au kadhalika. Atatokea kwenda Tan’iym, al-Ja’raanah au ´Arafaat na kisha baada ya hapo aingie Ihraam kwa kufanya ´Umrah mpya. Anatakiwa kutoka nje ya Haram. Kama vile ´Aaishah alivyofanya ´Umrah kwa amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokea Tan’iym.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24663/هل-يجوز-تكرار-العمرة-ومن-اين-يحرم
- Imechapishwa: 20/11/2024
Swali: Mtu amesafiri kutokea Riyaadh kwenda Makkah kwa kuweka nia ya kufanya ´Umrah moja. Baada ya kufanya ´Umrah akafikiria kufanya ´Umrah kwa mara ya pili. Je, inafaa kwake kufanya hivo? Afanye Ihraam kutokea wapi?
Jibu: Hakuna ubaya akifanya ´Umrah kisha akataka kufanya ´Umrah kwa niaba ya baba yake aliyekufa au mama yake au kadhalika. Atatokea kwenda Tan’iym, al-Ja’raanah au ´Arafaat na kisha baada ya hapo aingie Ihraam kwa kufanya ´Umrah mpya. Anatakiwa kutoka nje ya Haram. Kama vile ´Aaishah alivyofanya ´Umrah kwa amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokea Tan’iym.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24663/هل-يجوز-تكرار-العمرة-ومن-اين-يحرم
Imechapishwa: 20/11/2024
https://firqatunnajia.com/kukariri-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket