Swali: Je, inajuzu kurudia kumswaliwa maiti?
Jibu: Kama itatokea hakuna tatizo. Ikiwa tayari wameshamswalia maiti kisha akakutana na watu wengine wanaomswalia tena kaburini, naye akaswali pamoja nao, hilo halina shida wala dhambi. Ni kama mtu anayeswali swalah nyingine kwa kurudia kwa sababu ya sababu ya Kishari´ah. Mfano mtu akiswali msikitini, kisha akaenda msikiti mwingine kwa haja au kwa ajili ya darsa, akawakuta wanaswali, anaruhusiwa kuswali pamoja nao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha hivyo. Hivyo hapana vibaya kurudia swalah kwa sababu ya Kishari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1146/حكم-تكرار-الصلاة-على-الميت
- Imechapishwa: 31/01/2026
Swali: Je, inajuzu kurudia kumswaliwa maiti?
Jibu: Kama itatokea hakuna tatizo. Ikiwa tayari wameshamswalia maiti kisha akakutana na watu wengine wanaomswalia tena kaburini, naye akaswali pamoja nao, hilo halina shida wala dhambi. Ni kama mtu anayeswali swalah nyingine kwa kurudia kwa sababu ya sababu ya Kishari´ah. Mfano mtu akiswali msikitini, kisha akaenda msikiti mwingine kwa haja au kwa ajili ya darsa, akawakuta wanaswali, anaruhusiwa kuswali pamoja nao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha hivyo. Hivyo hapana vibaya kurudia swalah kwa sababu ya Kishari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1146/حكم-تكرار-الصلاة-على-الميت
Imechapishwa: 31/01/2026
https://firqatunnajia.com/kukariri-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket