Swali: Lau kwamba mtu amemuomba mwengine amuwekee amana ya kitu cha haramu, kisha akakichukua na kukikana. Je, inajuzu kwake kufanya hivyo?
Jibu: Ikiwa ni pombe, aimwage na aikane; hakuna tatizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25426/حكم-من-اىتمن-على-شيء-محرم-ثم-جحده
- Imechapishwa: 19/03/2025
Swali: Lau kwamba mtu amemuomba mwengine amuwekee amana ya kitu cha haramu, kisha akakichukua na kukikana. Je, inajuzu kwake kufanya hivyo?
Jibu: Ikiwa ni pombe, aimwage na aikane; hakuna tatizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25426/حكم-من-اىتمن-على-شيء-محرم-ثم-جحده
Imechapishwa: 19/03/2025
https://firqatunnajia.com/kukana-amana-ya-haramu-ya-mtu/