Swali: Nilitembelea Ubelgiji kwenye kituo kimoja cha Kiislamu kwa ajili ya kuswali. Nikakuta wanajumuisha baina ya Maghrib na ´Ishaa´ kwa hoja ya kwamba ´Ishaa´ inachelewa kuingia na waka na inakaribia usiku wa manene na kwamba watu wanafanya kazi na wamechoka na hawawezi kusubiri. Ni ipi hukumu ya ujumuishaji huu? Inafaa kwao kufanya hivi?
Jibu: Haijuzu kwao kujumuisha kati ya Maghrib na ´Ishaa´ isipokuwa kama kunanyesha. Hili tu ndio limethibiti katika Sunnah. Haijuzu kujumuisha kwa sababu tu ´Ishaa´ inachelewa kuingia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket